Neh. 1:2 SUV

2 Hanani, mmoja wa ndugu zangu, akanijia, yeye na watu wengine waliotoka Yuda; nami nikawauliza habari za Wayahudi waliopona, hao watu wa uhamisho waliosalia; na habari za Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Neh. 1

Mtazamo Neh. 1:2 katika mazingira