Neh. 1:5 SUV

5 nikasema, Nakusihi, Ee BWANA, Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, mwenye kutimiza agano lake na rehema zake kwa hao wampendao na kuzishika amri zake;

Kusoma sura kamili Neh. 1

Mtazamo Neh. 1:5 katika mazingira