3 Pashuri, Amaria, Malkiya;
4 Hamshi, Shekania, Maluki;
5 Harimu, Meremothi, Obadia;
6 Danieli, Ginethoni, Baruki;
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini;
8 Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.
9 Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;