Neh. 10:38 SUV

38 Naye kuhani, mwana wa Haruni, atakuwako pamoja na Walawi, watwaapo zaka Walawi; nao Walawi wataipandisha zaka ya hizo zaka nyumbani kwa Mungu wetu, vyumbani, katika nyumba ya hazina.

Kusoma sura kamili Neh. 10

Mtazamo Neh. 10:38 katika mazingira