Neh. 13:18 SUV

18 Je! Sivyo hivyo walivyofanya baba zenu; na Mungu wetu, je! Hakuyaleta mabaya haya yote juu yetu, na juu ya mji huu? Nanyi hata hivyo mwazidi kuleta ghadhabu juu ya Israeli kwa kuinajisi sabato!

Kusoma sura kamili Neh. 13

Mtazamo Neh. 13:18 katika mazingira