Neh. 13:25 SUV

25 Nikagombana nao, nikawalaani, nikawapiga baadhi yao, na kuwang’oa nywele zao; nikawaapisha kwa Mungu, nikasema, Msiwaoze wana wao binti zenu, wala msiwatwae binti zao ili waolewe na wana wenu, wala na ninyi wenyewe.

Kusoma sura kamili Neh. 13

Mtazamo Neh. 13:25 katika mazingira