Neh. 3:30 SUV

30 Baada yake wakafanyiza Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, sehemu nyingine. Baada yake akafanyiza Meshulamu, mwana wa Berekia, sehemu nyingine kuelekea chumba chake.

Kusoma sura kamili Neh. 3

Mtazamo Neh. 3:30 katika mazingira