Neh. 3:4 SUV

4 Na baada yao akafanyiza Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi. Na baada yao akafanyiza Meshulamu, mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli. Na baada yao akafanyiza Sadoki, mwana wa Baana.

Kusoma sura kamili Neh. 3

Mtazamo Neh. 3:4 katika mazingira