Neh. 4:13 SUV

13 Basi, nikaweka watu, mahali pa chini pa nafasi iliyokuwa nyuma ya ukuta, mahali palipokuwa wazi, kwa kadiri ya jamaa zao, nikawaweka wenye panga zao, na mikuki yao, na pinde zao.

Kusoma sura kamili Neh. 4

Mtazamo Neh. 4:13 katika mazingira