7 Watu wote wa mapatano yakoWamekufukuza, hata mipakani;Wale waliofanya amani naweWamekudanganya, na kukushinda;Walao mkate wako wameweka mtego chini yako;Wala hana ufahamu wa hayo ndani yake.
Kusoma sura kamili Oba. 1
Mtazamo Oba. 1:7 katika mazingira