Sef. 2:7 SUV

7 Na hiyo nchi ya pwani itakuwa nchi ya watu wa nyumba ya Yuda waliosalia; watalisha makundi yao huko; watalala katika nyumba za Ashkeloni wakati wa jioni; kwa maana BWANA, Mungu wao, atawajilia na kuwarudisha wafungwa wao.

Kusoma sura kamili Sef. 2

Mtazamo Sef. 2:7 katika mazingira