17 BWANA, Mungu wako, yu katikati yako shujaa awezaye kuokoa;Atakushangilia kwa furaha kuu,Atakutuliza katika upendo wake,Atakufurahia kwa kuimba.
Kusoma sura kamili Sef. 3
Mtazamo Sef. 3:17 katika mazingira