Yoe. 2:11 SUV

11 naye BWANA anatoa sauti yake mbele ya jeshi lake; maana matuo yake ni makubwa sana; kwa maana yeye ni hodari atekelezaye neno lake; kwa kuwa siku ya BWANA ni kuu, yenye kitisho sana; naye ni nani awezaye kuistahimili?

Kusoma sura kamili Yoe. 2

Mtazamo Yoe. 2:11 katika mazingira