Yoe. 2:32 SUV

32 Na itakuwa ya kwamba mtu awaye yote atakayeliita jina la BWANA ataponywa; kwa kuwa katika mlima Sayuni na katika Yerusalemu watakuwako watu watakaookoka, kama BWANA alivyosema; na katika mabaki, hao awaitao BWANA.

Kusoma sura kamili Yoe. 2

Mtazamo Yoe. 2:32 katika mazingira