1 Wakorintho 14:26 BHN

26 Ndugu, tuseme nini, basi? Mnapokutana pamoja, mmoja aimbe wimbo, mwingine atoe mafundisho, mwingine awe na ufunuo kutoka kwa Mungu, mwingine atumie kipaji cha kusema kwa lugha ngeni na mwingine afafanue yanayosemwa. Yote yawe kwa ajili ya kulijenga kanisa.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 14

Mtazamo 1 Wakorintho 14:26 katika mazingira