1 Wakorintho 15:27 BHN

27 Maana, Maandiko yasema: “Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake.” Lakini, Maandiko yanaposema: “Vitu vyote vimewekwa chini ya miguu yake avitawale” ni dhahiri kwamba Mungu haingii katika kundi hilo la vitu, maana yeye ndiye anayeviweka vitu hivyo chini ya Kristo.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 15

Mtazamo 1 Wakorintho 15:27 katika mazingira