1 Wakorintho 15:32 BHN

32 Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki, basi, “Tule na tunywe, maana kesho tutakufa.”

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 15

Mtazamo 1 Wakorintho 15:32 katika mazingira