1 Yohane 4:16 BHN

16 Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi.Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.

Kusoma sura kamili 1 Yohane 4

Mtazamo 1 Yohane 4:16 katika mazingira