20 Katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo vya kila namna: Vingine ni vya fedha na dhahabu, vingine vya mbao na udongo, vingine vya matumizi ya heshima na vingine kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
Kusoma sura kamili 2 Timotheo 2
Mtazamo 2 Timotheo 2:20 katika mazingira