11 Nimekuwa kama mpumbavu, lakini nyinyi mmenilazimisha kuwa hivyo. Nyinyi ndio mngalipaswa kunisifu. Maana, ingawa mimi si kitu, kwa vyovyote, mimi si mdogo kuliko hao “mitume wakuu.”
Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 12
Mtazamo 2 Wakorintho 12:11 katika mazingira