2 Wakorintho 12:18 BHN

18 Mimi nilimwita Tito, nikamtuma kwenu na ndugu yetu mwingine. Je, Tito aliwanyonyeni? Je, hamjui kwamba sisi tumekuwa tukiongozwa na roho yuleyule, na mwenendo wetu ni mmoja?

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 12

Mtazamo 2 Wakorintho 12:18 katika mazingira