2 Wakorintho 5:4 BHN

4 Tukiwa bado katika hema hii ya duniani, tunalia kwa kukandamizwa; si kwamba tunataka kuuvua mwili huu wa kufa, ila tuna hamu ya kuvalishwa ule usiokufa, ili kile chenye kufa kimezwe kabisa na uhai.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 5

Mtazamo 2 Wakorintho 5:4 katika mazingira