2 Wakorintho 7:12 BHN

12 Hivyo, ingawa niliandika ile barua, haikuwa kwa ajili ya yule aliyekosa, au kwa ajili ya yule aliyekosewa. Niliandika kusudi ionekane wazi mbele ya Mungu jinsi mlivyo na bidii kwa ajili yetu.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 7

Mtazamo 2 Wakorintho 7:12 katika mazingira