10 Na Mungu ampaye mkulima mbegu na mkate kwa chakula, atawapa nyinyi pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, zikue na kuwapa mavuno mengi ya ukarimu wenu.
Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 9
Mtazamo 2 Wakorintho 9:10 katika mazingira