2 Wathesalonike 1:12 BHN

12 Kwa namna hiyo, jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu kutoka kwenu, nanyi mtapata utukufu kutoka kwake kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.

Kusoma sura kamili 2 Wathesalonike 1

Mtazamo 2 Wathesalonike 1:12 katika mazingira