Luka 10:16 BHN

16 Halafu akasema, “Anayewasikiliza nyinyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea nyinyi, anakataa kunipokea mimi. Na yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma.”

Kusoma sura kamili Luka 10

Mtazamo Luka 10:16 katika mazingira