Luka 10:30 BHN

30 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyanganya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.

Kusoma sura kamili Luka 10

Mtazamo Luka 10:30 katika mazingira