Luka 11:36 BHN

36 Basi, kama mwili wako wote una mwanga, bila kuwa na sehemu yoyote yenye giza, mwili huo utangaa kikamilifu kama vile taa inavyokuangazia kwa mwanga wake.”

Kusoma sura kamili Luka 11

Mtazamo Luka 11:36 katika mazingira