Luka 13:25 BHN

25 Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Nyinyi mtasimama nje na kuanza kubisha mlango mkisema: ‘Bwana, tufungulie mlango.’ Lakini yeye atawajibu: ‘Sijui mmetoka wapi.’

Kusoma sura kamili Luka 13

Mtazamo Luka 13:25 katika mazingira