Luka 17:7 BHN

7 “Tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. Je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia huyo mtumishi: ‘Haraka, njoo ule chakula?’

Kusoma sura kamili Luka 17

Mtazamo Luka 17:7 katika mazingira