Luka 19:15 BHN

15 “Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.

Kusoma sura kamili Luka 19

Mtazamo Luka 19:15 katika mazingira