Luka 19:26 BHN

26 Naye akawajibu: ‘Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.

Kusoma sura kamili Luka 19

Mtazamo Luka 19:26 katika mazingira