Luka 19:37 BHN

37 Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;

Kusoma sura kamili Luka 19

Mtazamo Luka 19:37 katika mazingira