Luka 20:16 BHN

16 Atakuja kuwaangamiza wakulima hao, na kuwapa wakulima wengine hilo shamba la mizabibu.” Watu waliposikia maneno hayo, walisema: “Hasha! Yasitukie hata kidogo!”

Kusoma sura kamili Luka 20

Mtazamo Luka 20:16 katika mazingira