Luka 5:14 BHN

14 Naye Yesu akamwamuru: “Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajioneshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose kuwathibitishia kwamba umepona.”

Kusoma sura kamili Luka 5

Mtazamo Luka 5:14 katika mazingira