Luka 5:18 BHN

18 Mara watu wakaja, wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani, wamweke mbele ya Yesu.

Kusoma sura kamili Luka 5

Mtazamo Luka 5:18 katika mazingira