Luka 5:21 BHN

21 Waalimu wa sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: “Nani huyu anayesema maneno ya kufuru? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!”

Kusoma sura kamili Luka 5

Mtazamo Luka 5:21 katika mazingira