Luka 5:37 BHN

37 Wala watu hawatii divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.

Kusoma sura kamili Luka 5

Mtazamo Luka 5:37 katika mazingira