Luka 6:4 BHN

4 Yeye aliingia katika nyumba ya Mungu, akachukua ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu, akala na kuwapa wenzake. Haikuruhusiwa mtu kula mikate hiyo isipokuwa tu makuhani.”

Kusoma sura kamili Luka 6

Mtazamo Luka 6:4 katika mazingira