Marko 15:15 BHN

15 Pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, akamwachilia Baraba kutoka gerezani. Akaamuru Yesu apigwe viboko, kisha akamtoa asulubiwe.

Kusoma sura kamili Marko 15

Mtazamo Marko 15:15 katika mazingira