Marko 2:17 BHN

17 Yesu alipowasikia, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. Sikuja kuwaita watu wema, ila wenye dhambi.”

Kusoma sura kamili Marko 2

Mtazamo Marko 2:17 katika mazingira