Marko 2:22 BHN

22 Wala watu hawatii divai mpya katika viriba vikuukuu. Kama wakifanya hivyo, divai itavipasua hivyo viriba, nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika. Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!”

Kusoma sura kamili Marko 2

Mtazamo Marko 2:22 katika mazingira