Matendo 16:19 BHN

19 Matajiri wa yule msichana walipoona kwamba tumaini lao la kupata mali limekwisha, waliwakamata Paulo na Sila, wakawaburuta mpaka hadharani, mbele ya wakuu.

Kusoma sura kamili Matendo 16

Mtazamo Matendo 16:19 katika mazingira