Matendo 4:13 BHN

13 Hao wazee wa Baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.

Kusoma sura kamili Matendo 4

Mtazamo Matendo 4:13 katika mazingira