Matendo 4:31 BHN

31 Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila woga.

Kusoma sura kamili Matendo 4

Mtazamo Matendo 4:31 katika mazingira