Matendo 5:4 BHN

4 Kabla ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza, bado hizo fedha zilikuwa zako uzitumie utakavyo. Kwa nini basi, uliamua moyoni mwako kufanya jambo la namna hii? Hukumdanganya mtu; umemdanganya Mungu!”

Kusoma sura kamili Matendo 5

Mtazamo Matendo 5:4 katika mazingira