Mathayo 13:33 BHN

33 Yesu akawaambia mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga madebe mawili na nusu, hata unga wote ukaumuka.”

Kusoma sura kamili Mathayo 13

Mtazamo Mathayo 13:33 katika mazingira