Ufunuo 1:16 BHN

16 Katika mkono wake wa kulia alikuwa na nyota saba, na kinywani mwake mlitoka upanga wenye makali kuwili. Uso wake uling'aa kama jua kali kabisa.

Kusoma sura kamili Ufunuo 1

Mtazamo Ufunuo 1:16 katika mazingira