Ufunuo 11:15 BHN

15 Kisha, malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, “Sasa ufalme wa ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!”

Kusoma sura kamili Ufunuo 11

Mtazamo Ufunuo 11:15 katika mazingira