2 Lakini uache ukumbi ulio nje ya hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa watu wa mataifa mengine, ambao wataukanyaga mji mtakatifu kwa muda wa miezi arubaini na miwili.
Kusoma sura kamili Ufunuo 11
Mtazamo Ufunuo 11:2 katika mazingira